Hongera sana kwa mtunzi wa nyimbo hii ya mpenzi jini kwani haya mambo yapo katika jamii japo sio mengi na hayatangazwi. Big up!
kulamuziki on
November 13th, 2007 1:42 am
Hii website ni kaliiii!na hiyo nyimbo ya mpenzi jini yaani acha!!natakiwa nikalale kesho niingie mzigoni lakini hii website inanifanya niendelee kuongeza dakika!!
I hate Tanzania tho am Tanzanian!!!!
thats d only reason why tryin make it on ma own here in Baghdad.
im in love with Bongo Flava tehe tehe
peace
kitumbua on
November 13th, 2007 10:40 pm
wabongo tunajitahidi kwa mziki. nikiwa nyumbani ulaya nisikiliza hizi nyimbo najisikia nipo nyumbani tanzania.wapeni hongera wanamziki muzikidi kujitahidi na kuimba .mungu atawariki maana kawapeni kipaji unabidi mkitumie
Safi sana tunafarijika kusikia nyimbo za nyumbani hata kama hatupo nyumbani tunajisikia tupo nyumbani.
Vilevile tunaomba walau muimarishe hudama za matangazo hasa taarifa za habari unajua ni muhimu sana kujua kinachoendelea nyumbani kuliko kusikia habari za kigieni tu,
Information is Power, na Nyumbani ni Nyumbani.
Kazi Njema.
mtilila yassin on
November 14th, 2007 9:54 am
Hii website ni bombaaa, inatupatia habari tele na burudani kibaaaao,na bongo-flava ni babu kubwa, endeleeni kutupa vitu hadimu, big up.
jenny titi on
November 14th, 2007 4:20 pm
Bongo is the thing!!!!
wallace kiondo mziray on
November 16th, 2007 2:17 am
To be honesty nimeikubali hii website kupita maelezo! and just the way nilipo huku ughaibuni, when I login to this website to listen music especialy bongo fleva and reading news definitely najihisi kama niko nyumbani na mawazo ya home yanapungua kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa! inshort nimefarijika sana na endeleeni hivyo hivyo kutupa vitu vinavyoendelea Bongo kwetuuuuuuuuu!
SELA.B.DENMARK on
November 17th, 2007 2:02 am
BONGO NDIOYENYEWE MTU KWAO ATA KAMA LESNDIO PART OF LIFE
Nawashukuru kwa juhudi zenu kutuletea mambo ya kwetu mikononi mwetu kabisa (In our finger Print), nikubonyeza tu unapata raha ya bongo yote hapa.
kwa nyongeza na ili muzidi kuwaburudisha zaidi wapenzi wengi uongozeni nyimba za mahadhi mbalimbali kama vire Rusha Roho na Gospel Musics, kwani ndiyo flava zetu zinavuma Bongo sasa, hivyo hata sisi tuliopo ughaibuni tunataka tweende na wakati wa bongo kwetu, isije ikawa wakati unarudi unajikuta umekuwa mgeni wa kila kitu.
Big UP, Nawafagilia.
Mke wangu amenitumia Dedication ya wimbo wa Mr. Paul- NAKUZIMIA, Nausikiliza sasa hivi Kupitia Jambo Network-Bongo Flava.
Okey, Kazi Njema Kwenu.
Dekei a.k.a Daniel Kiptui Kibett on
November 21st, 2007 5:23 pm
Nyimbo zote ni vibao safi, mtunzi wa “Mpenzi Jini” anahitaji hongera kwa mistari zake za kufana.
I replayed the song more than ten times! congratulations Z Anto. Although I am a Kenyan I like bongo like a p**s*.
Shukrani zangu pia kwa Jambonetwork.com kwa viburudisho ya kufariji, hongera
I remain
chidile ikolo on
November 21st, 2007 8:02 pm
watanzania piganieni haki yenu muepukane na umaskini, msipende kung”ang”ania viongozi wasiokuwa na dili byee budurudika na bongo5 waoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo????????
Fidel Msg on
November 22nd, 2007 3:40 pm
Nawashukuruni kwa kusikiliza maoni ya sisi wasikilizaji kwa kuongoza idadi ya nyimbo nyingi zaidi tunawaomba mzidi kutuletea vitu vinavyo pakuliwa hivi leo au jana na pamoja kesho rusheni hewani tunawaaminia wakuu AMINIA swaiba.
Hiki kibao cha mpenizi jini kinanikuna mpaka balaa.
Powa wadau kazi njema.
Tuzidishieni manjonjo zaidi.
Thanks.
Mchwechwele.
Nashukuru sana kwa kuturushia nyimbo za kikwetu kwani nikizisikiliza na kumbuka tanzania.Napia na washukuru sana kwa wale wana miziki wetu wa tanzania.Nawatakia ufanisi mwema katika kuunda nyimbo zingine naomba kusema kwamba msichoke kututumia nyimbo zingine zinazotoka hivi karibuni.Nimechoka kusikiliza nyimbo za huku.
asante sana kwa kusoma maoni yangu nawapa hai watanzania wenzangu wote
EMMANUEL on
November 26th, 2007 4:48 pm
Najisikia burudani sani kuona muziki wa nyumbani unathaminiwa hiyo ndiyo njia sahihi yakuwapa motisha vijana wetu ili nao waone wamefanya kazi ebwanae big up kwa Z-ANTO na track zake binti kiziwi mtu wangu imenibamba ile mbaya kula tano za hewani senkyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
halow kibao cha mpenzi Jini na cha Binti kiziwi vimenifurahisha sana napenda kuwapongeza mtunzi au watunzi wa vibao hivyo kweli vimetulia si mchezo na vinaujmbe uliotulia nawapa big up sana msela wangu umekamua vilivyo. Nipo Ujerumani Nakupa hiiiiiiiii kwa sana. bye
moody on
November 28th, 2007 1:28 pm
bab kubwa mnajitahidi sema toeni video nzuri zenye ubora
Am akenyan who really enjoys bongo flava so much, guys keep it up. Especially up coming artists like ali kiba he makes my day with this song cinderra.Thanks.Ihope this case in court will be over soon.
moody on
November 30th, 2007 1:39 pm
big up nigga swahili vitu vinasikika all over the world bongoman nigga s for life
achuda on
December 3rd, 2007 7:38 pm
da hot bongo flava single mpenzi jini, da time to shine around da universe.!
i luv this website yani ina nyimbo bomba but plz nawaomba mueke wimbo wa maua chenkula- akatambala
caesar on
December 6th, 2007 2:59 pm
jambovideo naipa big up kwa sana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
kija on
December 7th, 2007 8:43 pm
Mwaka wa shetani ni wimbo wa nani, ni TMK? Nyimbo nzuri sana aisee. Mwaka wa Shetani , sijui wasanii wanausikiliza na kuuelewa maana kila siku kutengana
Wabongo wenzetu mlioko nje wapeni support watanzania wenzenu kwa kuinua vipaji vyao. Si mnajua hali yetu kiuchumi huku bado sio. Pia mialiko yenu itachangia kuuzwa kwa ulbum zetu ughaibuni.
Tupeni shavu!
kija on
December 9th, 2007 4:44 pm
Ukiamka asubuhi mwombe mola anilinde….AY, nyimbo zuri sana Big up ma brother, na hii isiwe kwa wapenzi tu. Basi tukiamka asubuhi tuombeane kwa mola atulinde
shyrose on
December 10th, 2007 9:03 am
kazi safi hii’najisikia kama nipo ndani ya bongo yaani’bravo’bravo.sichagui nazipenda zoote’
In deed I am very very impressed with this Websites with Bongo flava .Keep it up for giving us new Bongo flava hits updates .
Bravo God bless you all for your hard working .
Says
Walbert Mgeni
i sed i llllllllllllllllooooooooooooovvvvvvvvvvveeeeeeeeeeee BONGO MUSIC
rashid abdallah suleiman on
December 16th, 2007 9:33 am
nampa big up chidi benz sana na masela wake wote;fid Q hip hop hailipi hip hop ni sawa na kuuza pipi.Big up kwa Klyn na Noorah.Lakini wasanii wengine ni wasenge kwa sababu mtu unalivunja group lako kama Afande sele,Daz baba,si vizuri kwa sababu muziki ni mashirikiano bila ya mashirikiano hamuwezi kufanya lolote na mtakuwa mnaleta maswala ya kike umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu.Ok nawatakia kila la kheri kwenye muziki wasanii wote wa bongo.
Kweli nakupongeza mzee uliyeimba kibao cha binti kiziwi kila siku ninaposikiliza kibao hiki nangundua hisia zako za ndani juu penzi lako kwa mtu mwenyetatizo kama hili. Ni kweli wapo watu katika jamii zetu tunao wapenda lakini tunashindwa kuwaeleza hisia zetu za dhati juu yao. Na kupa big up kwa kuwa mbunifu endeleza kipaji hiki Mzee wangu na melody uliyoichagua ni nzuri inavutia masikioni, na ujumbe umesimama mahali pake, kaza msuli mzee.
Kwakweli ni raha naraha ndi hizi Siyojua rahaa Hushindilia karaha jambo jamo Ni mfalme wa jagwani kwa wa Tnzania Peace and love
lynn on
January 1st, 2008 7:49 am
i love tanzania music though i live in U.S.A and im kenyan.marlow (rita)God bless your lovely voice.
anna ng'wananogu on
January 2nd, 2008 2:23 pm
Habari Tanzania, nawatakia kila la kheri katika mwaka 2008.Naomba wasanii wa Bongo flava muwe wabunifu ,mnajitahidi sio siri lakini haitoshi.Nathani mnaona jinsi miziki ya dance na injili zinavyo funika. you should be more creative.
congrat for dis favourite network,bse we get all hoooooottttttt songs from home!!!!!!!!!!!!!!!
evance masuki on
January 2nd, 2008 5:42 pm
Hi!Mko bomba,web imetulia kinoma.KIP IT UP ENDELEENI KUTUPA VITU VIKALI KAMA HIVI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Upendo Furaha on
January 2nd, 2008 6:40 pm
Tanzania, Tanzania; Ninakupenda kwa Moyo wote. Nchi yangu Tanzania, Jina lako ni tamu sana.
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika; Mungu Wabariki Walimwengu.
Hi Site imetulia sana inanikumbusha Home najifeel kama niko home vile keep it up me nice site
nimekubali on
January 3rd, 2008 3:52 am
Huyu Marlaw sasa najua yuko siriaz!
Dogo anatisha!
Aikande on
January 3rd, 2008 5:53 am
Asante sana bro.Michuzi kwa kutupa hii link ya burudani,kutoka kwenye blog yako unafanya vizuri sana kunyanyua mitandao ya kitanzania na africa keep it up bro.Nawashauri wote mwingie humu ni mziki 24/7 mambo safiiiiiiiiiiiiii keep it up Jambonetwork!
Peace out!
kwija on
January 3rd, 2008 5:59 am
Thanks Jambo network… tunashukuru kwa habari na maelezo mengi, mimi nimefurahi kupata kusikia bongo flava. Je kuna uwezekano wa kuweka na nyimbo za gospel pia maana nazo zina umuhimu kwetu haa tulio mbali na nyumbani. Keep it up ans stay blessed….
ngomuo on
January 3rd, 2008 7:03 am
big up!!!!!!!!!!!!!yaani nakumbuka likizo yangu bongo ……….maisha au mambo ya makumbusho……….ikiwezekana some clips za ze comedy…lol
betty on
January 3rd, 2008 12:40 pm
I like that Jambotanzania website,dont stop keep it up.
Marlaw big up man,kazi nzuri lkn angali sifa zisikufanye ukaharibu kazi kaza buti babu.
othman on
January 3rd, 2008 11:27 pm
Marlaw si mchezo kibao chako hichi Rita kaza mnyamwezi wangu.
Helen on
January 4th, 2008 12:57 am
Wow!!! hii nzuri sannnnnaaa tu
Ningeomba basi maoni ubadilishe new commments ziwe juu old onces ziwe chini apart from that….mhhhh Hongera I like this
Priska on
January 5th, 2008 5:24 am
eeeeeeeeeeeeeeh bwana ndio!
S.S.Farsiy on
January 5th, 2008 6:07 pm
Salamu kutoka Spain
Huu mtandao ni pao kabisa. Hongereni. Mnatusaidia sana hasa sisi tulioko nje.
Naomba mtuingizie Mduara na Taarabu. Mnajua tena Mambo ya Pwani.
KHAMIS, Said Suleiman on
January 5th, 2008 6:14 pm
WEB SITE hii inavuma, sio mchezo. Endeleeni kutuburudisha.
Naomba mtuwekee Mambo ya Pwani.
Mungu Ibariki Tanzania.
meg on
January 6th, 2008 10:54 pm
Aminia website imetulia mtu wangu . asante kwa kutupa vitu vya nyumbani
meg on
January 7th, 2008 2:04 am
big up kazi imetuliaa fagiliaaaaaaaaa waaaawaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
FROZINA MTASIWA on
January 7th, 2008 2:47 pm
HONGERA SANA KWA KUTUPA MIZIKI YA NYUMBANI.
Joyce on
January 8th, 2008 3:43 am
wow!!! huu wimbo mzuri mimi sio mpenzi wa bongo flava manake zote nilizosikia ni rap ana zile zingine zinaiga kabisa R&B lakini huu bwana wangu mtu asikwambie kitu wimbo mzuri huu
arafat on
January 8th, 2008 1:56 pm
Jamani wabongu tunafaa kujivunia hasa bongo fleva noma babu kubwa
Nawashukuruni nyote kwa kuweka maoni yenu juu ya kazi hizi tulizowawekea japo naona wengi wanamwambia mheshimiwa Michuzi aongeze nyimbo ama apunguze.
UKWELI:
Tutaendelea kuongeza nyimbo kadiri tunavyoweza na kuzitenganisha. Wale waloomba tuweke na taarab ni kuwa natarajia by next month naweza kuwa huru na kuzipandisha hapa.
TAHADHARI:
Epuka kuweka comment yako ikiwa imeambatana na barua pepe yako mfano kimeo@baabkubwa.com maana spams zitajazana kwenye inbox yako. Badala yake andika kimeo-AT-baabkubwa-DOT-com na unayempa barua pepe hiyo ataipata.
MWISHO:
Tunashukuru kwa ushirikiano wenu mimi pamoja na crew yangu. Tunasikitika kwa wale wanaolalamikia kuwa eti nyimbo hazichezi vema ama zinakoroma. Ni kuwa mtandao upande wenu uko na speed ya chini na njia mbadala ya kucheza miziki hiyo ni kuhakikisha computer yako kwanza ina Adobe Flash Player. Kama haina basi hautaweza kuipata miziki hii. Fanya kuvumilia kwa kubofya PAUSE ili miziki ijikite kwenye computer yako kwanza kisha anza kukandamiza mmoja baada ya mwingine.
Nawatakia furaha katika mwaka 2008 na tuendelee kuwa pamoja. Hatupimi… Tangu 2004 na bado tunakuja tena kwa nguvu nyingine kubwa zaidi.
NYONGEZA:
Kwa wale wenye mawazo ama ushauri msisite kutufahamisha. Kwa kuandika comments tu hatutaweza kuzisoma zote. Ujumbe ambao ungependa niushughulikie haraka sana ama kuufanyia kazi basi naomba utume via email kwa mac-AT-jambotanzania-DOT-net ama kwa namba ya simu tuma +255 713 444 649
Hebwana hii web kali kinyama ila nyimbo zilizopo zipo slow kuload nawapa big up sana! mjitahidi basi kulekebisha tatizo hilo au vipi majita?
Abdulee mtoto wa Pelembela & baby ammy / W ardhi.
hellow guyz out there……this is a real nice placefor all ppl to give out wat they have or wat they want to share with others…cheerz n keep it up buddy……
David on
January 9th, 2008 7:45 pm
Hongera wasanii wa nyumbani; dunia nzima sasa mnasikika kilichobaki ni kukaza buti na si kubweteka!! Marlaw asante kwa “Rita”
Jamani naumwa sana huku niliko California…naumwa na bongo yetu…mziki wa bongo flava jamani.Huku maisha ni mazuri sana lakini hawayana ladha kuliko ninavyoumis mziki wa bongo flava.Nammisi sana Marlaw wakati ule nilipoondoka akitamba na bembeleza nikapata shooting yake nikiwa huku marekani.Na mmisi kinoma sana rafiki yangDullSykesmisifa,Q-chillah,TID,JIDE,Z-antoni,MBdog…jamani wasanii wabongo kiwango chenu kio juu mno na kusema kweli mnatuliwaza sana huku tuliko.tunajiskia kama tuko nyumbani tukiingia huko kwa youtube na sasa hivi nimetumiwa website hii kutoka Spain.Nawasalimia nyote ndugu zangu mlioko bongo na big-up kubwa kwa wasanii wa bongo fleva nawambia kamueni sana tuko pamoja nanyi.
Hey Bongolese,
I really miss bongo f lava.I would like to hear the best of bongo f lava 07-08
Helen on
January 13th, 2008 1:47 am
Jamani hii music nzuri sana…Bongo flava nilikua si husudu. Zikianza nilikua nimeshaondoka Bongo kila nikienda nasikia raps tu …Hivyo nilikua sijapata muda wa kujua huu music …. nimeona hii link juzi tu…Leo ninabamiza hizi nyimbo kama ingekua CD ingeharibika long time
One of my favorites so far today - Nyota yako, Bembeleza, Watu na viatu, Mpenzi wangu ana ngoma na Pressure….Kesho nitaamkia hapa nisikilize more
Thanks to whoever made this possible
Allan on
January 14th, 2008 3:33 am
Mimi nawafagilia sana. Maana hii miziki inanikumbusha bongo, naburudika kinoma. Nipo hapa Oman lakini ninapoweka hii miziki nahisi kama nipo bongo vile. Nawapa Bigup kinoma. Asante sana kwa kutusaidia si unajua mambo ya kutafuta CD moja moja lakini hapa ni kama Collection flani vile. Thanks!
Allan on
January 14th, 2008 3:43 am
Nafikiri mgekuwa mnaibadilisha na kuweka zingine kila baada ya week ingekuwa bomba sana. Mawazo yangu!
Perfect Sam on
January 17th, 2008 10:52 pm
Big up jambonet ,Naomba kama kuna uwezekano mtuwekee na Gospel Songs swahili music if possible,
Jasmini on
January 20th, 2008 3:04 pm
Big up tz wasanii endeleeni na moyo huohuo.mashabiki tupo wengi msikatetamaa.Na asiye kubali ku shidwa si mshindani. peace&love
Saada. on
January 21st, 2008 3:40 pm
Nawapongeza sana watayarishaji wa web hii hongereni sana. Pili napenda niwape pongezi wanamuziki wote wa bongo flavor lakini zaidi nikimfagilia zaidi mwanamziki MarLaw. Ukweli napenda mno nyimbo zote za huyu kijana. Ametulia sana katika uimbaji. Na kweli hata ukifanikiwa kupata casset yake bila shaka utainjoy kwani hutachoka kuisikiliza na nyimbo zake zote. Sikuwa na mahali pa kumsifia nadhani hapa ni mahali ambapo naweza kufikisha sifa yake ya uimbaji mahiri. Imefika wakati tunahitaji wanamuziki kama MarLaw hapa Tanzania.
BIG UP MARLAW!\
Msangi Jr on
January 24th, 2008 6:04 pm
NAWAPONGEZA SANA JAMBO NET .I LIKE TO SEE ALSO GOSPEL MUSIC IF POSSIBLE
Allan on
January 30th, 2008 1:32 am
mambo vipi masela. Leo tena nipo nakamua mabongo flava haya. Yaani we acha tu, Bongo kuna uzuri wake tofauti na ughaibuni. Tunamisi mambo mengi ya hapo bongo washikaji. Kama vile kuona vijana wanakamua live hizi bongo flava. Nawapa Big Up kinoma!
Tamali on
January 31st, 2008 3:05 pm
Big u jambonetwork kwa kutupa vitu vitamu ile mbayaaaaaaa. endeleeni kukaza buti.
malimu on
February 1st, 2008 10:41 am
nafikiri mnajua kitu gani watanzania wengi wanakihitaji hasa vijana kama sisi.Asikwambie mtu RAHA JIPE MWENYEWE.Hakuna atakaye kupa raha mwingine.Mizikii yenu inatisha sana.Hongera sana.Wekeni miziki mipya kila mara
PASCHAL MASHAURI on
February 1st, 2008 6:13 pm
every things wii go as you plan so take it for every body………………………………../////////////////////////
IDID NOT KNOW THERE WAS SOMETHING LIKE THIS. oN NEWS I ONLY DEPENDED IPPMEDIA MY DAUGHTER INTRODUCED ME TO YOUR NETWORK. IT IS A LONG TIME SINCE I LEFT TANZANIA S O MUCH HAS TRANSPIRED.
MY MESSAGE OF ENCOURAGEMENT IS FOR OUR SINGERS TO FINETUNE THEIR MUSIC. WHEN I LEFT SAIDA KALORI WAS AT HER BEST, BUT WHEN I ASK MY CHILDREN HERE THEY DO NOT GIVE ME A FINE ANSWER TO HER WHEREABOUT. TANZANIANSINGERS ARE LIKE A CANDLE IN THE WIND.
GRACE on
February 5th, 2008 12:39 pm
bongo has been very good to me.tanzanian music are well done and very educating all the best. we love you . cheeeeeeeeeerrzzzzzzzz
GRACE on
February 5th, 2008 12:40 pm
bongo flava has been very good to me.tanzanian music are well done and very educating all the best. we love you . cheeeeeeeeeerrzzzzzzzz
subia on
February 5th, 2008 1:17 pm
maze i just love this website. kwanza the song about the jini lover. the firstthing i do when i touch my comp is to sek out ya website. nice work. PLIZ post me the song NISAMEHE. it goes sth like nataka unisameh kama kwako nimekosa…
jacque on
February 6th, 2008 4:46 pm
the song bembeleza by marlow is the best i have heard in a long time. bongo artists are doing really well, keep up the good work.
the voices are really great.
mkali NOLE on
February 8th, 2008 11:41 am
i love music from tzee kinoma ,nawapa mashavu wa2 wote wanaosapoti ngoma za kibongo.NAFEEL mashairi,styles na ubora umeenda school,
TUKAZE BUTI WA2 WA2 WANGU.
Says Mkali wa SABABISHA da ARMY………………
amon on
February 9th, 2008 2:08 pm
Mimi mbongo nipo south nahitaji nyimbo za kibongo kama ring tone
Jamani mimi nauliza kwani kuna haja gani ya kuchanganya maneno ya kizungu na kiswahili?? wengine hata kizingu chenyewe wanakosea kuandika tusiwe kama watu wa afrika magharibi Mtu aidha atumie kizingu au kiswahili , inachefua roho sana (ni maoni yangu) na pia kiswahili kimekamilika na kitamu.
chid on
February 9th, 2008 7:51 pm
barry black nakupa big up sana ila kuwa makini na suma lee usimwache kakutowa mbali.
Mkojera on
February 10th, 2008 10:57 am
Nawapongeza wanamuziki wote wa Bongo, kweli mnajitahidi. Nipo ughaibuni lakini najisikia nipo nyumbani. Dogo Marlaw mziki wako Rita unanigusa sana. Hongera kwa vibao vyako Bembeleza na Rita. Ongeza bidii.
Peter Zubawuo. Jr on
February 11th, 2008 8:14 pm
good music for listening pleasure..
humphrey nyimbo on
February 12th, 2008 12:27 pm
nazimikia bongo flava kichiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii tuwasupport kwa kununua kazi zao co kucopy bure.big up
bilhuda on
February 12th, 2008 5:52 pm
Naomba wimbo anita ulioimba na matanyo kwa kumshirikisha jd
FAITH on
February 15th, 2008 4:33 pm
there is nothing as good as bongo to the people of east africa.am a kenyan and i love bongo with all my heart coz i leel it in my veins
Tim on
February 18th, 2008 7:47 pm
Soy flava del bongo de la sensación
G-Master on
February 22nd, 2008 3:59 pm
safi sana kijana marlow kazi sana,inanikumbusha mchizi wangu MAKA,safi sana huo ndo ubunifu ubaotakiwa katika bongo flava sio kila siku aprty tu wakakti all the tyn we have problems.
safi sana wanajambo natupa vitu vitamu hata sisi ambao tuko mbali na home
nyumbani ni nyumbani kip it up !
Senzia on
February 22nd, 2008 9:00 pm
Nawezaje kudownload hii miziki nikaiweka kwenye cd ili niweze kusikiliza sehemu ambayo haina inet?
I love the youth to concentrate in the Word of God they can worship there Lord by singing becouse in the screapture writen that The singer of this world dosn’t get in the kingdome of the lord
So men welk up befor the day over.
GOD bless youth all over the world
JAMANI ENYI JAMBO NETWORK MKO JUU SANA NIMEWAKUBALI SANA! Nitafutieni vbao viwli vya bongo fleva kutoka kwa MARU ft VUMILIA (We ndio mama na mimi ndio baba) na kingine kutoka kwa MATONYA ft JAYDEE (ANITA).
Sogga on
March 6th, 2008 4:50 pm
napenda sana kuwapongeza sana kwakuunganisha mtandao huu au web hii nachowaomba jitahidini sana mtuburudishe kwa kutuonyesha na video za wasanii kwa sisi tuliokuwambali na kwetu huko bongo msitubanie tupeni burudani ili tujione tuko nyumbani. yangu ndiyo hayo kwa leo. cio
mas on
March 6th, 2008 7:35 pm
sogga mambo
Simon Siwango on
March 7th, 2008 5:12 pm
Naomba wimbo wa Anita Wa Matonya
Napatikana Mwadui
Shinyanga
Simon Siwango on
March 7th, 2008 5:15 pm
Natafuta Rafiki Kutoka Bongo Awe wa jinsia yoyote Msicha au Mvulana
Simon Siwango
Mwadui
Shy
nawashukuruni sana kwa kutubudisha kwa vibao motomoto na nawapa big up wasanii wote wa bongo flava sana mtuzi wa kibao rita big up to all i am outside my contry but when i listen to bongo music i feel i am home thx to all of you
Dah bongo flava jamani bomba kinoma pongezi kubwa kwa wasanii wote na sana kwa jambonetwork congratulations munatubuludisha sana tu i love my contry and my people thanks to all you
nita on
March 14th, 2008 6:44 pm
aki ya nani the songs are great.please bring for us more always.
Kwa wasikilizaji wote wa bongo flava ndani ya jambonet.napata faraja sana sana nisikilizapo mziki wa nyumbani nahisi kama nipo nyumbani,hamna kama tanzania naipenda ndani ya roho yangu na nawapenda watanzania wote tupopamoja,na kweli nyumbani nyumbani jamani mungu ibariki tanzania mungu wabariki watanzania.i love you all god bless us.
kwa wasikilizaji wote wa jambonetwork na wanaoangalia kwenyeinternet nawapa big up sanaa hasa tunaoangalia kwenye net sina mengizaidi .
Salimatha on
March 23rd, 2008 5:47 pm
Mhh mhhh Kudadeki wabongo mnatisha yan tulio mbali tuajihisi tuko mbinguni kusikia music ya bongo yaani mhhh hahahha big up maduu n a mamen mlichomoka kimtindo na music bongo flaver
Rahisi kuanzisha upendo,
japo ni gharama katika MUDA,UCHUMI,
MBAYA SANA KAMA UNAYEMPENDA HAJAFAHAMU AU HAJARIDHIKA AU ANAHITAJI UPENDO UTOKE UPANDE MWINGINE,
KWA PAMOJA TUANGALIE HILI.
naomba muniwekee wimbo wa rafiki wa suma lee uwaendee rafiki zangu ote wa ilala mtaa wa arusha na tanga maskani sio nawaambia nimewa miss sana huku mimi napiga kazi kwenda mbele tu ila ishallah mambo yatakuwa powa ilala oyeeeeeeeeeee
Jambo Network ni bomba sana inatuliwaza tunapokuwa mbali kunyumba.Big up kwa sana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Big up ! !
asante sana kwa michuzi ninayo pata katika link hii ya burudani kutoka kwenye bongoflava. Tanzania mnafanya vizuri sana kunyanyua mitandao ya Kitanzania na Africa kwa ujumla. Keep it up men!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Keep it up jambonetwork!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Peace out
sherry on
April 25th, 2008 10:06 am
Hey
Bongo wanjitahidi kwenye nyimbo zao zinafurahisha sana na zinapendwa
kazeni buti washikaji mzidi kusonga mbele zaidi .
sherry on
April 25th, 2008 11:02 am
Hey
wabongo mambo safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!
FRANCIS WAMBUA on
April 29th, 2008 7:39 am
Keep it up quyz.
Hizi bongo zinatubebelezaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!.
Isack Richard on
May 12th, 2008 5:39 pm
Hi! Ladies & Gently Men around over the world.I would like to dedicate the song ”usinichukie” by Afande Sele to all my fellow Teachers from Tarime TTC intake of 2008.I love you all Big-up sana.Is me Isack a.k.a Izzy.com.da’Man of the people.
hapo mnanikuna ile mbaya hasa wimbo wa makamua pamoja na chid benz wa tell me why mwana umesimama ile mbaya sina comments mbaya atakaye shindwa kusifia huyo ni mnafiki tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
ONCE,thinks kwa kutuekea kitu kama hiki mtandaoni na shukurani zangu za thati ziwafikie wale wote wanaohusika na mambo haya. BIG up kwa wasanii wote wa Bongo flava kwa vipaji vyenu. /// twaomba mziki wa BUSHOKE[MTOTO TULIA] .TZ TUPO IMARA.
Nawakubali sana watz kwa staili yao ya miondiko ya kibongo ikijulikana rasmi kwa jina la bongo flava.
kwa hakinia ni music uanaojitosheria na umebeba maana nzito na ujumbe unaikusudia jamii au unaolenga kuielimisha jamii.
NAWASHAULI SANA WASANII WAELEKEEZE BASI MAUDHUI AU BAADHI YA MISTARI AU MASHIRI YAO KTK SIASA WALU KTK HALI YA KUDESH ILI KUENDELEA KUIFANYA KAZI ILE ILE WALIOIKUSUDIA YA KUELIMISHA JAMII NA KUILINDA JAMII KWA NJIA NA STYLE YA KIMUSIC.MAANA UKIMWAMBI MTU SI VIZURI KUW2AIBIWA WANANCHI HALI YA KUWA UKIIMBA NA KUCHEZA SIDHANI KAMA MTU HUYO ATAKASIRIKA,MAANA ATAESIKIA MZIKI AKAKASIRIKA TENA WA KIFLAVA BASI HUYO NI KAMA MBUZI ASIYEJUA NINI MZIKI,MAANA MBUZI HATA UPIGE MAJITAA MIA MOJA HATACHEZA MILELE.
LAKINI MWANADAMU ATACHEZA HIYO MUSIC THEN IKIWA MZIKI HUO UNAKEMEA NA UNAHUSU TABIA ZAKE KESHO ATABADILI HIYO MITABIA BAADA YA NAFSI YAKE KUMHUKUMU BILA KUFIKA MAHAKAMANI.
(tzchalii nikiwa nchi ya mafuta)….
kokugonza burchard on
June 3rd, 2008 11:46 am
hi tanzanians mimi ni mbongo niko ug. sio siri na u feel sana wimbo wa matonya unaokwenda kwa jina la anitha. kaza buti mtu wangu truck zako zinalipa ile kichizi.
wasanii wetu wa bongo wanatisha lakini pia wanahitaji sapoti toka kwetu mimi naikubali mistari na mashairi yametulia Big up bushoke kitu chako cha Dunia njia kina ninyima usingizi pia dada jay dee kitu chako cha nishike mkono big up ni mimi jmwambona wa jmwambona @yahoo.com
joshua de-jean on
June 20th, 2008 10:45 am
yap!! am very much impressed wc tanzanian music,
bongo flava…artists ar doin so good…marlaw huko juu ile mbaya, big up.
sana….!!! kazeni buti mazee.
joshua de-jean on
June 20th, 2008 10:52 am
yap..!!! am very much impressed wc, bongo flava..the music industry
in tanzania is will growing up…artists ar doin so good…big up sana..
marlaw upo juu sana kaza buti mazee..!!!
Napenda niwapatie miziki ambayo mtaiweka katika Jambo radio ili wananchi waisikilize. ni Album mbili za wanamziki tofauti na GCM Cre na Blue Coast ambao Kampuni yetu inafanya matayarisho ya mwisho ili kukamilisha album zao, Album ya Machache!! waimbaji ni GCM Crew, Na Album ya Fadhaiko la moyo Ya Blue Coast. demo zipo katika website yetu na hivi ni vikundi vya wanamziki chipkizi ambao bado hawajafahamika, wanahitaji msaada wetu ili na wao wafahamike so kama mtahitaji miziki yao kwa ajili ya kuweka watu wawasikilize vjana hao naomba address zenu niwatumie kama attachment. mimi pia ni mwanachama wa jambo Son Of Dead Millionaire
Ndayizeye Roto Alson or BJB on
July 17th, 2008 2:13 am
hey!mi ni aloys nikiwa marekani kwa kweli hongera sana wasanii wa tzt sijuwi niseme aje kwani mnajitahidi kwa kutunga nyimbo zenye akili na kila siku najtahidi kusikiliza nyimbo za hapo tzt.big up ninyi kazeni buti.
aloys bizimana(B.A) on
July 17th, 2008 2:22 am
Big up wasani wa TZT kwani ni ukweli mnaimba nyimbo nzuri sana.pole sana Z ANTO kwa huyo binti kiziwi anaye kusumbuwa na ila muelewe hivyo alivyo kwa kuwa umeshatamka ya kwamba hata kusoma nen love yeye halijuwi hata pia neno i need you halitambuwi,na wimbo huo najuwa umewa touch wengi kwani si wewe tu.
Is big web in Dar mimi ninaona wabongo hii iwe niweb yetu yakuelezea tunachokiona,tunachokisikia Macreaters na washukuru sana!1.Lakini je hizi nyimbo hizi wasanii wanafaidika vipi na hii miziki??Au ndo mna wapromo??
Big up in the always.
Nuru on
July 18th, 2008 11:49 am
im a tazanian even though i live england BUT I JUST L0VE THE MUSIC IT IS THE BEST MUSIC 2 LISTEN 2!!!
zay2ni on
July 19th, 2008 8:48 am
jamani i love dis song somuch n u guys ur somuch gud.may god bless u
Albert Manga on
July 20th, 2008 7:23 am
What a wonderful collection you are composing for us! This shows how Tanzanians are rich in talents (music talents to be precise)
Few rehabilitations and dedicated support to our wasanii could see them rock the World and easily get to skies!
i love this website keeps me informed on the latest music thumps up to you and take care
dereck on
August 14th, 2008 9:34 pm
this site is wonderful
lutfi on
August 16th, 2008 10:47 am
Ndg zangu mko juu sn ,mumeifanaya bongo flava iwe juu sn ,boresheni
Siima on
August 17th, 2008 8:03 pm
Hi,
Nimefarijika na hii collection,inabamba,najisikia niko nyumbani hapa ugenini masomoni Norway.Big up kwa wasanii wetu.I will spread the news kwani wengi tulikuwa tunasema hatujabeba CD za nyumbani.the site is wonderful
I LIKE BONGO SONGO SANA NA ZILIPENDWA NIKO MOSOW NILIPEWA DEDICATICATION IKABIDI MINAFUTE WAPI NDIO NIAAMBIWA MAMBO YOYE JAMBO NETWORK PLEASE USIACHE TWASIKIA RAHA. NAJUA UMENUMA. SIJANUNA TENA JAMANI LET START NEW LOVE. NIMEKUSAMEHE LOVE YOU.
Mi ndo mi R-dee
kawaida yangu mi ni mmja wapo wanaopenda BONGO FLAVA toka longi
Hasa kama vilivyo na sina mengi zaidi kiliopo na kipweti ni shukrani kwa wanaohusika na mambo haya ya BONGO FLAVA kusikika ughaibuni.
hamjambo huko mm nataka ni dawload nyimbo sasa nakwenda wapi
Renatus Raphael on
November 1st, 2008 8:56 am
hey jambotanzania web site, inatisha kwa kuachia habari za uhakika, na kuburudisha jamii pia na kuielimisha jamii na dunia nzima, naomba watumiaji wa site hii tuitangaze mpaka kila pembe ya dunia na vijijini ili kwa ubora wake
siifagilii bari wewe unaona mwenyewe.
ni wito wangu kwa watumiaji (marafiki) kushikamana na kutoa mawazo endelevu na kuunga umoja wa watumiaji wa site hii. Pia ni wito wangu kwa watawala wa site hii kuyasikiliza na kuyafanyia kazi mawazo yatolewayo na watumiaji. Wa sanii pongezi kubwa pokeeni na utawala wa hii site asante kwa kufukisha ujumbe katika jamii.
asante big up kwa marafiki na watumiaji site hii Tanzania jambo network namba moja
Renatus Raphael
Tanzania CBT
Renatus Raphael on
November 1st, 2008 9:02 am
Msanii Jl na Lil Qeto kwa kibao chao wa KIDATO KIMOJA anatisha si kwamba na mfagilia bali kuna ukweli ndani yake.
kazana kwa nguvu na toa pini jingine. Big up kwa watumiaji jambo chat wooote
mwenzenu renatus bybybybyby
i love da music . i am jamaican and listening to bongo bring out my african roots. da station rock mi to the core.
my man is kenyan and i would love to learn da lingo respect.
Huwa si mtu wa kujibu kila kinachoandikwa bali kuchukua hatua. Lakini nimeonelea leo nijibu baadhi ya wadau hapa ili kukidhi haja zao.
Kuhusu walioomba muziki wa Injili, kumradhi kwa kutouweka hapa lakini upo kwenye hii link na baada ya marekebisho kadhaa tutaweka link huku pia:
JamiiForums.com/injili.php
Inakili pembeni na weka kwenye browser yako uendelee kuburudika na miziki hiyo ya Injili.
Kuna wadau huwa wanalalamika kwamba hatujaweka nyimbo flani. Tunasikitika kuwa baadhi ya wasanii kuwapata ama kupata nyimbo zao ni ngumu, tunajitahidi kuweka zile ambazo zinapatikana na endapo kuna mdau anazo nyimbo na anaona hapa hazijawekwa tafadhali tuwasiliane: Nambari yangu nilishakupeni nairudia, +255713444649 au barua pepe maxence.melo@jamiimedia.com.
Pia kuna ambao huwa wanataka direct links za ku-download hizi nyimbo, nasikitika kusema kuwa kufanya hivyo ni ngumu kwetu kwani ni kusambaza bila mauzo nyimbo za wasanii, tunatambua kuna namna nyingine mdau anaweza kuzichukua sawa na msikilizaji wa radio anayerekodi nyimbo, hilo kulikwepa ni kugumu lakini si kwa dhamira yetu.
ZAidi ni kuwaomba uvumilivu na ushirikiano ili kuboresha kazi zetu.
Ahsante.
Maxence M. Melo
k.n.y JamboNetwork.com Administration
Ni kweli bila kificho kuwa watu tunafurai sana kutembelea web hii hapa maana iko makinni nyimbo mpya yaani uptodate na hivyo kutufanya sisi tunaoitembelea pi kuwa wajanja hi wote wapenzi wa jambo tujuliane hali kwa :josephat .john @gmail.com
Renatus Raphael on
November 11th, 2008 12:24 pm
Asante sana Maxence M. kwa kutujibu na kutufafanulia vyema hasa kile tulicho kuwa tunauliza. kwa pamoja tuiboreshe jambo network kwa sababu iko juu kuliko site zingine kwa kuimulikia jamii hasa burudani, Habari, Elimu. nk.
BOSS Mac hebu nitoe ujinga hapa naona imeandikwa BONGO FLAVA sasa mbona kuna nyimbo mpaka za nchi nyingine au BONGO FLAVA ni jina tu haina maana ni wasanii wa TZ??
ahhahahahahhahah
Mac bana nae !!!!
njama isaack on
November 12th, 2008 7:29 pm
tukopamoja makaka tz iko juu kwa music wa bongo flave naikubali sana kwaheri wewe unaesoma
njama isaack on
November 12th, 2008 7:41 pm
tz ndio nyumbani napenda bongo flave tz iko hewani kwa music kwaheri msomaji wangu njamaisaack@yahoo.com
yap yap ladies n gentlmen frm the abload mzuuuuuuuuuuuuuuuuuka sana i see your comment from this web is very nyc but dont forget home ma guys just kip in touch ma email anold8719@yahoo.com anyone who want to show love wit me, nyc daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaay
Yeah yeah yeah!!! Masela wangu PINGU na DESSO mmefanya kazi nzuri
Big up vichwa vigumu kutoka TIPTOP CONNECTION.
Big up Boys !!!! Big up Boys.
ANORD ATHANAS (BUKOBA TOWN) on
November 18th, 2008 6:24 pm
PAMOJA SANA MASELA,JITAIDI KUFANYA SHUGHUKI ZINAZO INUA MAENDELEO NA SI YANAYODIDIMIZA MATARAJIO YAKO.ISHI KWA KUMUOMBA MUNGU.KUMBUKA MAISHA MEPESI NA NI LAINI KAMA KUNAWA UKIMHIRIKISHA MUNGU.
paulina maingo on
November 24th, 2008 7:21 am
YAANI UCBONYEZEE HII DALAZ,NI KWAMBA MNAFUNIKA BUT NINGEPENDA MUONGEZE NYIMBO KAMA ZA AKUDO I MEAN BONGO DANSI NA TAARAB,GOSPER BUT BONGO DANSI NI MKAZUFUNGA ZAID SO NI HAYO 2,NOMAAAAAAAAAAAAA
We as youth of today we must change according to the development of science and technology and we suppose to know that we are so importance in this world.So you as you, your personality in this world is only one no one have your breath and your heart beat in all this world even George Bush can’t dare to buy your personal because you is only one in this world So you must feel that you is special no body can be like you forever and ever
Thanks to God for mad me My Parents(Angel & Francis Lyassa) as well as all Lyassa’s family.
Jackson Lyassa.
Katoke TTC 2007-2009
katy on
December 1st, 2008 11:45 pm
jamani bongo flava si mchezo mziki mzuri naomba mziki wa tmk-dar mpaka moro please!!!!!!!!!!!!!!! thank you!!!!!!!!!! houston,texas
Mheshimiwa HITIMANA J.Berchimas on
December 9th, 2008 8:32 pm
Mheshimiwa Temba sijui ni human au animal kwa sababu kila msanii
akimshirikisha songi inakuwa kali saaaana nyimbo zake pekee yake sasa.
Sikia songi lake la mwaka wa shetani basi !!!
BIG UP msela wangu kutuka kundi letu TMK WANAUME FAMILY tuachane
na hao wanajiita halisi hao feki hawasafishi meno yao…..
BIG UP MAAAAAAN !!!!!!!!
kafanabo on
December 19th, 2008 11:21 am
mimi marakwamara nasikia muheshimiwa KIKWETE ambae ni rais wa tanzania anapambana na ufisadi,kinachonishangaza nikwamba mafisadi wanaofahamika hawakamatwi,nani asiejuwa kuwa LOWASA ndiyo mwizi mkuu katika tanzania mbona hakamatwi?au rais anamuogopa?hatakuku wanafaham kuwa LOWASA ni mwizi.au KIKWETE unatuletea usanii?kamavipi achana na urais nenda ukawe pamoja na HASHIM LUNDENGA naona unatuletea usanii,hapoulipo siyo pakuleta usanii unatakiwa kuongoza kwa kufuata taratibu na shelia.
Mheshimiwa HITIMANA J.Berchimas on
December 21st, 2008 9:46 am
AY we uko juu na tena we ni moja wa maboss wa wasanii wa TANZANIA.
Hilo kundi lenu la duet AY&FA linaua watu.Mungekuwa kwa lile kundi la ECT
hamungejulikana.Napenda sana mnavyorap .Sina la kusema zaidi ya big up
masela wangu. Habari ndio hiyo.
dennis . a.k.a MC on
December 29th, 2008 7:20 pm
safi sana i like it atakama niko canada .
Got something to say?
Search:
eNews & Updates
Sign up to receive the latest breaking news, as well as all of your other favorite headlines!
I love TZ so much althuogh i live in America
Bongo-flava is da bomb
Hongera sana kwa mtunzi wa nyimbo hii ya mpenzi jini kwani haya mambo yapo katika jamii japo sio mengi na hayatangazwi. Big up!
Hii website ni kaliiii!na hiyo nyimbo ya mpenzi jini yaani acha!!natakiwa nikalale kesho niingie mzigoni lakini hii website inanifanya niendelee kuongeza dakika!!
I hate Tanzania tho am Tanzanian!!!!
thats d only reason why tryin make it on ma own here in Baghdad.
im in love with Bongo Flava tehe tehe
peace
wabongo tunajitahidi kwa mziki. nikiwa nyumbani ulaya nisikiliza hizi nyimbo najisikia nipo nyumbani tanzania.wapeni hongera wanamziki muzikidi kujitahidi na kuimba .mungu atawariki maana kawapeni kipaji unabidi mkitumie
Safi sana tunafarijika kusikia nyimbo za nyumbani hata kama hatupo nyumbani tunajisikia tupo nyumbani.
Vilevile tunaomba walau muimarishe hudama za matangazo hasa taarifa za habari unajua ni muhimu sana kujua kinachoendelea nyumbani kuliko kusikia habari za kigieni tu,
Information is Power, na Nyumbani ni Nyumbani.
Kazi Njema.
Hii website ni bombaaa, inatupatia habari tele na burudani kibaaaao,na bongo-flava ni babu kubwa, endeleeni kutupa vitu hadimu, big up.
Bongo is the thing!!!!
To be honesty nimeikubali hii website kupita maelezo! and just the way nilipo huku ughaibuni, when I login to this website to listen music especialy bongo fleva and reading news definitely najihisi kama niko nyumbani na mawazo ya home yanapungua kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa! inshort nimefarijika sana na endeleeni hivyo hivyo kutupa vitu vinavyoendelea Bongo kwetuuuuuuuuu!
BONGO NDIOYENYEWE MTU KWAO ATA KAMA LESNDIO PART OF LIFE
Nawashukuru kwa juhudi zenu kutuletea mambo ya kwetu mikononi mwetu kabisa (In our finger Print), nikubonyeza tu unapata raha ya bongo yote hapa.
kwa nyongeza na ili muzidi kuwaburudisha zaidi wapenzi wengi uongozeni nyimba za mahadhi mbalimbali kama vire Rusha Roho na Gospel Musics, kwani ndiyo flava zetu zinavuma Bongo sasa, hivyo hata sisi tuliopo ughaibuni tunataka tweende na wakati wa bongo kwetu, isije ikawa wakati unarudi unajikuta umekuwa mgeni wa kila kitu.
Big UP, Nawafagilia.
Mke wangu amenitumia Dedication ya wimbo wa Mr. Paul- NAKUZIMIA, Nausikiliza sasa hivi Kupitia Jambo Network-Bongo Flava.
Okey, Kazi Njema Kwenu.
Nyimbo zote ni vibao safi, mtunzi wa “Mpenzi Jini” anahitaji hongera kwa mistari zake za kufana.
I replayed the song more than ten times! congratulations Z Anto. Although I am a Kenyan I like bongo like a p**s*.
Shukrani zangu pia kwa Jambonetwork.com kwa viburudisho ya kufariji, hongera
I remain
watanzania piganieni haki yenu muepukane na umaskini, msipende kung”ang”ania viongozi wasiokuwa na dili byee budurudika na bongo5 waoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo????????
Nawashukuruni kwa kusikiliza maoni ya sisi wasikilizaji kwa kuongoza idadi ya nyimbo nyingi zaidi tunawaomba mzidi kutuletea vitu vinavyo pakuliwa hivi leo au jana na pamoja kesho rusheni hewani tunawaaminia wakuu AMINIA swaiba.
Hiki kibao cha mpenizi jini kinanikuna mpaka balaa.
Powa wadau kazi njema.
Tuzidishieni manjonjo zaidi.
Thanks.
Mchwechwele.
naomba mnipigie mziki wa luck dube samahani kwa usumbumbufu
jose kamilion
naomba wimbo wa mpenzi jini Z ANTO
naomba mziki wa z anton
naomba mziki wa hafsa pressure
Nashukuru sana kwa kuturushia nyimbo za kikwetu kwani nikizisikiliza na kumbuka tanzania.Napia na washukuru sana kwa wale wana miziki wetu wa tanzania.Nawatakia ufanisi mwema katika kuunda nyimbo zingine naomba kusema kwamba msichoke kututumia nyimbo zingine zinazotoka hivi karibuni.Nimechoka kusikiliza nyimbo za huku.
asante sana kwa kusoma maoni yangu nawapa hai watanzania wenzangu wote
Najisikia burudani sani kuona muziki wa nyumbani unathaminiwa hiyo ndiyo njia sahihi yakuwapa motisha vijana wetu ili nao waone wamefanya kazi ebwanae big up kwa Z-ANTO na track zake binti kiziwi mtu wangu imenibamba ile mbaya kula tano za hewani senkyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
halow kibao cha mpenzi Jini na cha Binti kiziwi vimenifurahisha sana napenda kuwapongeza mtunzi au watunzi wa vibao hivyo kweli vimetulia si mchezo na vinaujmbe uliotulia nawapa big up sana msela wangu umekamua vilivyo. Nipo Ujerumani Nakupa hiiiiiiiii kwa sana. bye
bab kubwa mnajitahidi sema toeni video nzuri zenye ubora
naomba mziki wa bushoke mtoto tulia
naomba wimbo wa mtoto tukia bushoke
Naomba wimbo wa mpenzi jini wa Zanton
Am akenyan who really enjoys bongo flava so much, guys keep it up. Especially up coming artists like ali kiba he makes my day with this song cinderra.Thanks.Ihope this case in court will be over soon.
big up nigga swahili vitu vinasikika all over the world bongoman nigga s for life
da hot bongo flava single mpenzi jini, da time to shine around da universe.!
naomba wimbo wa jumanne iddy
i luv this website yani ina nyimbo bomba but plz nawaomba mueke wimbo wa maua chenkula- akatambala
jambovideo naipa big up kwa sana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mwaka wa shetani ni wimbo wa nani, ni TMK? Nyimbo nzuri sana aisee. Mwaka wa Shetani , sijui wasanii wanausikiliza na kuuelewa maana kila siku kutengana
Wabongo wenzetu mlioko nje wapeni support watanzania wenzenu kwa kuinua vipaji vyao. Si mnajua hali yetu kiuchumi huku bado sio. Pia mialiko yenu itachangia kuuzwa kwa ulbum zetu ughaibuni.
Tupeni shavu!
Ukiamka asubuhi mwombe mola anilinde….AY, nyimbo zuri sana Big up ma brother, na hii isiwe kwa wapenzi tu. Basi tukiamka asubuhi tuombeane kwa mola atulinde
kazi safi hii’najisikia kama nipo ndani ya bongo yaani’bravo’bravo.sichagui nazipenda zoote’
Hi
In deed I am very very impressed with this Websites with Bongo flava .Keep it up for giving us new Bongo flava hits updates .
Bravo God bless you all for your hard working .
Says
Walbert Mgeni
i love love bongo music sooooooooooooooooooooooooo much
i sed i llllllllllllllllooooooooooooovvvvvvvvvvveeeeeeeeeeee BONGO MUSIC
nampa big up chidi benz sana na masela wake wote;fid Q hip hop hailipi hip hop ni sawa na kuuza pipi.Big up kwa Klyn na Noorah.Lakini wasanii wengine ni wasenge kwa sababu mtu unalivunja group lako kama Afande sele,Daz baba,si vizuri kwa sababu muziki ni mashirikiano bila ya mashirikiano hamuwezi kufanya lolote na mtakuwa mnaleta maswala ya kike umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu.Ok nawatakia kila la kheri kwenye muziki wasanii wote wa bongo.
napenda bongo music sanaaaa!!!!
ididnt found Bongo flava songs in my Jambonetwork
Kweli nakupongeza mzee uliyeimba kibao cha binti kiziwi kila siku ninaposikiliza kibao hiki nangundua hisia zako za ndani juu penzi lako kwa mtu mwenyetatizo kama hili. Ni kweli wapo watu katika jamii zetu tunao wapenda lakini tunashindwa kuwaeleza hisia zetu za dhati juu yao. Na kupa big up kwa kuwa mbunifu endeleza kipaji hiki Mzee wangu na melody uliyoichagua ni nzuri inavutia masikioni, na ujumbe umesimama mahali pake, kaza msuli mzee.
babu nuneni album watu waende platinum sio kusifu na kubana pesa wasanii watakula wapi
sinzia’ whooooooooooow’ndio maana tunaimba haleluyaaaaaaaaaa’nitafia jambo jamani
Hiy nawafagilia saaana, I like this website inatuburudisha saana especially sisi tuliopo vijijini, endelezeni zaidi
Kwakweli ni raha naraha ndi hizi Siyojua rahaa Hushindilia karaha jambo jamo Ni mfalme wa jagwani kwa wa Tnzania Peace and love
i love tanzania music though i live in U.S.A and im kenyan.marlow (rita)God bless your lovely voice.
Habari Tanzania, nawatakia kila la kheri katika mwaka 2008.Naomba wasanii wa Bongo flava muwe wabunifu ,mnajitahidi sio siri lakini haitoshi.Nathani mnaona jinsi miziki ya dance na injili zinavyo funika. you should be more creative.
Jamani nashukuru sana kuwa hapa. nimepapenda…BIG UP wote pia Ingieni http://www.nonoki.tk
congrat for dis favourite network,bse we get all hoooooottttttt songs from home!!!!!!!!!!!!!!!
Hi!Mko bomba,web imetulia kinoma.KIP IT UP ENDELEENI KUTUPA VITU VIKALI KAMA HIVI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Tanzania, Tanzania; Ninakupenda kwa Moyo wote. Nchi yangu Tanzania, Jina lako ni tamu sana.
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika; Mungu Wabariki Walimwengu.
Hi Site imetulia sana inanikumbusha Home najifeel kama niko home vile keep it up me nice site
Huyu Marlaw sasa najua yuko siriaz!
Dogo anatisha!
Asante sana bro.Michuzi kwa kutupa hii link ya burudani,kutoka kwenye blog yako unafanya vizuri sana kunyanyua mitandao ya kitanzania na africa keep it up bro.Nawashauri wote mwingie humu ni mziki 24/7 mambo safiiiiiiiiiiiiii keep it up Jambonetwork!
Peace out!
Thanks Jambo network… tunashukuru kwa habari na maelezo mengi, mimi nimefurahi kupata kusikia bongo flava. Je kuna uwezekano wa kuweka na nyimbo za gospel pia maana nazo zina umuhimu kwetu haa tulio mbali na nyumbani. Keep it up ans stay blessed….
big up!!!!!!!!!!!!!yaani nakumbuka likizo yangu bongo ……….maisha au mambo ya makumbusho……….ikiwezekana some clips za ze comedy…lol
I like that Jambotanzania website,dont stop keep it up.
ubunifu wenu unatisha big up man
Marlaw big up man,kazi nzuri lkn angali sifa zisikufanye ukaharibu kazi kaza buti babu.
Marlaw si mchezo kibao chako hichi Rita kaza mnyamwezi wangu.
Wow!!! hii nzuri sannnnnaaa tu
Ningeomba basi maoni ubadilishe new commments ziwe juu old onces ziwe chini apart from that….mhhhh Hongera I like this
eeeeeeeeeeeeeeh bwana ndio!
Salamu kutoka Spain
Huu mtandao ni pao kabisa. Hongereni. Mnatusaidia sana hasa sisi tulioko nje.
Naomba mtuingizie Mduara na Taarabu. Mnajua tena Mambo ya Pwani.
WEB SITE hii inavuma, sio mchezo. Endeleeni kutuburudisha.
Naomba mtuwekee Mambo ya Pwani.
Mungu Ibariki Tanzania.
Aminia website imetulia mtu wangu . asante kwa kutupa vitu vya nyumbani
big up kazi imetuliaa fagiliaaaaaaaaa waaaawaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
HONGERA SANA KWA KUTUPA MIZIKI YA NYUMBANI.
wow!!! huu wimbo mzuri mimi sio mpenzi wa bongo flava manake zote nilizosikia ni rap ana zile zingine zinaiga kabisa R&B lakini huu bwana wangu mtu asikwambie kitu wimbo mzuri huu
Jamani wabongu tunafaa kujivunia hasa bongo fleva noma babu kubwa
naomba nyimbo mbali mbali kuweka katika profile yangu ya bongo5.com/rogers1977 inawezekana kufanya hivyo.naomb msaada wako
safi mzee mwimbo umetulia sana tena sana
Dah,
Nawashukuruni nyote kwa kuweka maoni yenu juu ya kazi hizi tulizowawekea japo naona wengi wanamwambia mheshimiwa Michuzi aongeze nyimbo ama apunguze.
UKWELI:
Tutaendelea kuongeza nyimbo kadiri tunavyoweza na kuzitenganisha. Wale waloomba tuweke na taarab ni kuwa natarajia by next month naweza kuwa huru na kuzipandisha hapa.
TAHADHARI:
Epuka kuweka comment yako ikiwa imeambatana na barua pepe yako mfano kimeo@baabkubwa.com maana spams zitajazana kwenye inbox yako. Badala yake andika kimeo-AT-baabkubwa-DOT-com na unayempa barua pepe hiyo ataipata.
MWISHO:
Tunashukuru kwa ushirikiano wenu mimi pamoja na crew yangu. Tunasikitika kwa wale wanaolalamikia kuwa eti nyimbo hazichezi vema ama zinakoroma. Ni kuwa mtandao upande wenu uko na speed ya chini na njia mbadala ya kucheza miziki hiyo ni kuhakikisha computer yako kwanza ina Adobe Flash Player. Kama haina basi hautaweza kuipata miziki hii. Fanya kuvumilia kwa kubofya PAUSE ili miziki ijikite kwenye computer yako kwanza kisha anza kukandamiza mmoja baada ya mwingine.
Nawatakia furaha katika mwaka 2008 na tuendelee kuwa pamoja. Hatupimi… Tangu 2004 na bado tunakuja tena kwa nguvu nyingine kubwa zaidi.
NYONGEZA:
Kwa wale wenye mawazo ama ushauri msisite kutufahamisha. Kwa kuandika comments tu hatutaweza kuzisoma zote. Ujumbe ambao ungependa niushughulikie haraka sana ama kuufanyia kazi basi naomba utume via email kwa mac-AT-jambotanzania-DOT-net ama kwa namba ya simu tuma +255 713 444 649
Karibu
Mac
Hebwana hii web kali kinyama ila nyimbo zilizopo zipo slow kuload nawapa big up sana! mjitahidi basi kulekebisha tatizo hilo au vipi majita?
Abdulee mtoto wa Pelembela & baby ammy / W ardhi.
hellow guyz out there……this is a real nice placefor all ppl to give out wat they have or wat they want to share with others…cheerz n keep it up buddy……
Hongera wasanii wa nyumbani; dunia nzima sasa mnasikika kilichobaki ni kukaza buti na si kubweteka!! Marlaw asante kwa “Rita”
Asanteni vijana kwa kujiendeleza kiaina kimuziki Z- Anto keep it u, nyimbo zako zinakubalika.
kaka naomba wimbo wa dar moro ndugu uku tabu tu naomba angalao uniburudishe nawapenda sana wanaume ndugu yangu
hey ! Jamani wabongo tunafaa kujivunia hasa katika mziki wa kizazi kipyaa bongo fleva.Yaaaani safiii saaana.
muziki safi wa nyumbani vijana wanafanya mamboz , website imetulia muziki una toka stereo
good job big up
john s
Jamani naumwa sana huku niliko California…naumwa na bongo yetu…mziki wa bongo flava jamani.Huku maisha ni mazuri sana lakini hawayana ladha kuliko ninavyoumis mziki wa bongo flava.Nammisi sana Marlaw wakati ule nilipoondoka akitamba na bembeleza nikapata shooting yake nikiwa huku marekani.Na mmisi kinoma sana rafiki yangDullSykesmisifa,Q-chillah,TID,JIDE,Z-antoni,MBdog…jamani wasanii wabongo kiwango chenu kio juu mno na kusema kweli mnatuliwaza sana huku tuliko.tunajiskia kama tuko nyumbani tukiingia huko kwa youtube na sasa hivi nimetumiwa website hii kutoka Spain.Nawasalimia nyote ndugu zangu mlioko bongo na big-up kubwa kwa wasanii wa bongo fleva nawambia kamueni sana tuko pamoja nanyi.
Hey Bongolese,
I really miss bongo f lava.I would like to hear the best of bongo f lava 07-08
Jamani hii music nzuri sana…Bongo flava nilikua si husudu. Zikianza nilikua nimeshaondoka Bongo kila nikienda nasikia raps tu …Hivyo nilikua sijapata muda wa kujua huu music …. nimeona hii link juzi tu…Leo ninabamiza hizi nyimbo kama ingekua CD ingeharibika long time
One of my favorites so far today - Nyota yako, Bembeleza, Watu na viatu, Mpenzi wangu ana ngoma na Pressure….Kesho nitaamkia hapa nisikilize more
Thanks to whoever made this possible
Mimi nawafagilia sana. Maana hii miziki inanikumbusha bongo, naburudika kinoma. Nipo hapa Oman lakini ninapoweka hii miziki nahisi kama nipo bongo vile. Nawapa Bigup kinoma. Asante sana kwa kutusaidia si unajua mambo ya kutafuta CD moja moja lakini hapa ni kama Collection flani vile. Thanks!
Nafikiri mgekuwa mnaibadilisha na kuweka zingine kila baada ya week ingekuwa bomba sana. Mawazo yangu!
Big up jambonet ,Naomba kama kuna uwezekano mtuwekee na Gospel Songs swahili music if possible,
Big up tz wasanii endeleeni na moyo huohuo.mashabiki tupo wengi msikatetamaa.Na asiye kubali ku shidwa si mshindani. peace&love
Nawapongeza sana watayarishaji wa web hii hongereni sana. Pili napenda niwape pongezi wanamuziki wote wa bongo flavor lakini zaidi nikimfagilia zaidi mwanamziki MarLaw. Ukweli napenda mno nyimbo zote za huyu kijana. Ametulia sana katika uimbaji. Na kweli hata ukifanikiwa kupata casset yake bila shaka utainjoy kwani hutachoka kuisikiliza na nyimbo zake zote. Sikuwa na mahali pa kumsifia nadhani hapa ni mahali ambapo naweza kufikisha sifa yake ya uimbaji mahiri. Imefika wakati tunahitaji wanamuziki kama MarLaw hapa Tanzania.
BIG UP MARLAW!\
NAWAPONGEZA SANA JAMBO NET .I LIKE TO SEE ALSO GOSPEL MUSIC IF POSSIBLE
mambo vipi masela. Leo tena nipo nakamua mabongo flava haya. Yaani we acha tu, Bongo kuna uzuri wake tofauti na ughaibuni. Tunamisi mambo mengi ya hapo bongo washikaji. Kama vile kuona vijana wanakamua live hizi bongo flava. Nawapa Big Up kinoma!
Big u jambonetwork kwa kutupa vitu vitamu ile mbayaaaaaaa. endeleeni kukaza buti.
nafikiri mnajua kitu gani watanzania wengi wanakihitaji hasa vijana kama sisi.Asikwambie mtu RAHA JIPE MWENYEWE.Hakuna atakaye kupa raha mwingine.Mizikii yenu inatisha sana.Hongera sana.Wekeni miziki mipya kila mara
every things wii go as you plan so take it for every body………………………………../////////////////////////
SPEAK YOUR MIND.
IDID NOT KNOW THERE WAS SOMETHING LIKE THIS. oN NEWS I ONLY DEPENDED IPPMEDIA MY DAUGHTER INTRODUCED ME TO YOUR NETWORK. IT IS A LONG TIME SINCE I LEFT TANZANIA S O MUCH HAS TRANSPIRED.
MY MESSAGE OF ENCOURAGEMENT IS FOR OUR SINGERS TO FINETUNE THEIR MUSIC. WHEN I LEFT SAIDA KALORI WAS AT HER BEST, BUT WHEN I ASK MY CHILDREN HERE THEY DO NOT GIVE ME A FINE ANSWER TO HER WHEREABOUT. TANZANIANSINGERS ARE LIKE A CANDLE IN THE WIND.
bongo has been very good to me.tanzanian music are well done and very educating all the best. we love you . cheeeeeeeeeerrzzzzzzzz
bongo flava has been very good to me.tanzanian music are well done and very educating all the best. we love you . cheeeeeeeeeerrzzzzzzzz
maze i just love this website. kwanza the song about the jini lover. the firstthing i do when i touch my comp is to sek out ya website. nice work. PLIZ post me the song NISAMEHE. it goes sth like nataka unisameh kama kwako nimekosa…
the song bembeleza by marlow is the best i have heard in a long time. bongo artists are doing really well, keep up the good work.
the voices are really great.
i love music from tzee kinoma ,nawapa mashavu wa2 wote wanaosapoti ngoma za kibongo.NAFEEL mashairi,styles na ubora umeenda school,
TUKAZE BUTI WA2 WA2 WANGU.
Says Mkali wa SABABISHA da ARMY………………
Mimi mbongo nipo south nahitaji nyimbo za kibongo kama ring tone
Jamani mimi nauliza kwani kuna haja gani ya kuchanganya maneno ya kizungu na kiswahili?? wengine hata kizingu chenyewe wanakosea kuandika tusiwe kama watu wa afrika magharibi Mtu aidha atumie kizingu au kiswahili , inachefua roho sana (ni maoni yangu) na pia kiswahili kimekamilika na kitamu.
barry black nakupa big up sana ila kuwa makini na suma lee usimwache kakutowa mbali.
Nawapongeza wanamuziki wote wa Bongo, kweli mnajitahidi. Nipo ughaibuni lakini najisikia nipo nyumbani. Dogo Marlaw mziki wako Rita unanigusa sana. Hongera kwa vibao vyako Bembeleza na Rita. Ongeza bidii.
good music for listening pleasure..
nazimikia bongo flava kichiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii tuwasupport kwa kununua kazi zao co kucopy bure.big up
Naomba wimbo anita ulioimba na matanyo kwa kumshirikisha jd
there is nothing as good as bongo to the people of east africa.am a kenyan and i love bongo with all my heart coz i leel it in my veins
Soy flava del bongo de la sensación
safi sana kijana marlow kazi sana,inanikumbusha mchizi wangu MAKA,safi sana huo ndo ubunifu ubaotakiwa katika bongo flava sio kila siku aprty tu wakakti all the tyn we have problems.
safi sana wanajambo natupa vitu vitamu hata sisi ambao tuko mbali na home
nyumbani ni nyumbani kip it up !
Nawezaje kudownload hii miziki nikaiweka kwenye cd ili niweze kusikiliza sehemu ambayo haina inet?
Hi, nawapa big up kwa mambo yenu mazuri basi msiishie hapo tu endeleeni kuongeza nyimbo mpya kandri zitakavyokuwa zinatoka
I love the youth to concentrate in the Word of God they can worship there Lord by singing becouse in the screapture writen that The singer of this world dosn’t get in the kingdome of the lord
So men welk up befor the day over.
GOD bless youth all over the world
naomba nyimbo ya nakaya “you poletishan”
asante
Hongereni sana JN, Naipenda sana site yenu maana inaburudisha kwa kweli. Msisahau kuweka back-up na bank ya muziki hii kwa kizazi hiki na kijacho.
Jamanii naomba mtupatiee msani Nakaya na kibao yake Poletishan.
WE AS HUMAN BEING, WE BETTER FOCUS BEYOND THE NORMAL THAN FORWARD,God bless u all.
Hi!!!
P’se don’t take off the song of Marlaw - Rita, it is very sweetable
Claus
naombeni nyimbo ya nakaya “you poletishan”
asante
JAMANI ENYI JAMBO NETWORK MKO JUU SANA NIMEWAKUBALI SANA! Nitafutieni vbao viwli vya bongo fleva kutoka kwa MARU ft VUMILIA (We ndio mama na mimi ndio baba) na kingine kutoka kwa MATONYA ft JAYDEE (ANITA).
napenda sana kuwapongeza sana kwakuunganisha mtandao huu au web hii nachowaomba jitahidini sana mtuburudishe kwa kutuonyesha na video za wasanii kwa sisi tuliokuwambali na kwetu huko bongo msitubanie tupeni burudani ili tujione tuko nyumbani. yangu ndiyo hayo kwa leo. cio
sogga mambo
Naomba wimbo wa Anita Wa Matonya
Napatikana Mwadui
Shinyanga
Natafuta Rafiki Kutoka Bongo Awe wa jinsia yoyote Msicha au Mvulana
Simon Siwango
Mwadui
Shy
nawashukuruni sana kwa kutubudisha kwa vibao motomoto na nawapa big up wasanii wote wa bongo flava sana mtuzi wa kibao rita big up to all i am outside my contry but when i listen to bongo music i feel i am home thx to all of you
kusema kweli hi web ni kali ia wekeni mahali pa kuangali video kwa sisi watu ambao tu nchi za nje tu weze kuangalia video ili ukumbuke nchi yetu
i love tanzania although am in UK
Dah bongo flava jamani bomba kinoma pongezi kubwa kwa wasanii wote na sana kwa jambonetwork congratulations munatubuludisha sana tu i love my contry and my people thanks to all you
aki ya nani the songs are great.please bring for us more always.
Kwa wasikilizaji wote wa bongo flava ndani ya jambonet.napata faraja sana sana nisikilizapo mziki wa nyumbani nahisi kama nipo nyumbani,hamna kama tanzania naipenda ndani ya roho yangu na nawapenda watanzania wote tupopamoja,na kweli nyumbani nyumbani jamani mungu ibariki tanzania mungu wabariki watanzania.i love you all god bless us.
kwa wasikilizaji wote wa jambonetwork na wanaoangalia kwenyeinternet nawapa big up sanaa hasa tunaoangalia kwenye net sina mengizaidi .
Mhh mhhh Kudadeki wabongo mnatisha yan tulio mbali tuajihisi tuko mbinguni kusikia music ya bongo yaani mhhh hahahha big up maduu n a mamen mlichomoka kimtindo na music bongo flaver
Nimewakubal sana,kama vipi zile kali ziwe shazi,NAWAPENDA WOTE MNAONICHUKIA.
den kuimba mnaimba vizuri ila shooting ni utumbo mtupu na zinahiti mwisho magomeni tu habari ndo hiyo
beat yako naikubali Matonya SIAMINI
nawakubali
Can the song “Anita” done by Matonya and Lady Jay D. be added in the list? Damn, am in love with the song, vionjo vya kibongo kwa sana tu!
Keep it up!
hi every body,
Its a good thing 2love each other as the scriptures says,but the problem is when ua fellow knows u wiil fac the music.
Rahisi kuanzisha upendo,
japo ni gharama katika MUDA,UCHUMI,
MBAYA SANA KAMA UNAYEMPENDA HAJAFAHAMU AU HAJARIDHIKA AU ANAHITAJI UPENDO UTOKE UPANDE MWINGINE,
KWA PAMOJA TUANGALIE HILI.
naomba muniwekee wimbo wa rafiki wa suma lee uwaendee rafiki zangu ote wa ilala mtaa wa arusha na tanga maskani sio nawaambia nimewa miss sana huku mimi napiga kazi kwenda mbele tu ila ishallah mambo yatakuwa powa ilala oyeeeeeeeeeee
Jambo Network ni bomba sana inatuliwaza tunapokuwa mbali kunyumba.Big up kwa sana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Big up ! !
asante sana kwa michuzi ninayo pata katika link hii ya burudani kutoka kwenye bongoflava. Tanzania mnafanya vizuri sana kunyanyua mitandao ya Kitanzania na Africa kwa ujumla. Keep it up men!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Keep it up jambonetwork!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Peace out
Hey
Bongo wanjitahidi kwenye nyimbo zao zinafurahisha sana na zinapendwa
kazeni buti washikaji mzidi kusonga mbele zaidi .
Hey
wabongo mambo safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!
Keep it up quyz.
Hizi bongo zinatubebelezaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!.
Hi! Ladies & Gently Men around over the world.I would like to dedicate the song ”usinichukie” by Afande Sele to all my fellow Teachers from Tarime TTC intake of 2008.I love you all Big-up sana.Is me Isack a.k.a Izzy.com.da’Man of the people.
hapo mnanikuna ile mbaya hasa wimbo wa makamua pamoja na chid benz wa tell me why mwana umesimama ile mbaya sina comments mbaya atakaye shindwa kusifia huyo ni mnafiki tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
sina cha kukosoa hapo sawa imesimama ile mbaya tchaoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
ONCE,thinks kwa kutuekea kitu kama hiki mtandaoni na shukurani zangu za thati ziwafikie wale wote wanaohusika na mambo haya. BIG up kwa wasanii wote wa Bongo flava kwa vipaji vyenu. /// twaomba mziki wa BUSHOKE[MTOTO TULIA] .TZ TUPO IMARA.
Nawakubali sana watz kwa staili yao ya miondiko ya kibongo ikijulikana rasmi kwa jina la bongo flava.
kwa hakinia ni music uanaojitosheria na umebeba maana nzito na ujumbe unaikusudia jamii au unaolenga kuielimisha jamii.
NAWASHAULI SANA WASANII WAELEKEEZE BASI MAUDHUI AU BAADHI YA MISTARI AU MASHIRI YAO KTK SIASA WALU KTK HALI YA KUDESH ILI KUENDELEA KUIFANYA KAZI ILE ILE WALIOIKUSUDIA YA KUELIMISHA JAMII NA KUILINDA JAMII KWA NJIA NA STYLE YA KIMUSIC.MAANA UKIMWAMBI MTU SI VIZURI KUW2AIBIWA WANANCHI HALI YA KUWA UKIIMBA NA KUCHEZA SIDHANI KAMA MTU HUYO ATAKASIRIKA,MAANA ATAESIKIA MZIKI AKAKASIRIKA TENA WA KIFLAVA BASI HUYO NI KAMA MBUZI ASIYEJUA NINI MZIKI,MAANA MBUZI HATA UPIGE MAJITAA MIA MOJA HATACHEZA MILELE.
LAKINI MWANADAMU ATACHEZA HIYO MUSIC THEN IKIWA MZIKI HUO UNAKEMEA NA UNAHUSU TABIA ZAKE KESHO ATABADILI HIYO MITABIA BAADA YA NAFSI YAKE KUMHUKUMU BILA KUFIKA MAHAKAMANI.
(tzchalii nikiwa nchi ya mafuta)….
hi tanzanians mimi ni mbongo niko ug. sio siri na u feel sana wimbo wa matonya unaokwenda kwa jina la anitha. kaza buti mtu wangu truck zako zinalipa ile kichizi.
naikubali bongo flava,ni bomb,mliipuko wa kufa mtu.vijana wanalipuka kimtindo kwa style zote zenye kuaminika na kukubalika.nawapa mkono mzima,
wasanii wetu wa bongo wanatisha lakini pia wanahitaji sapoti toka kwetu mimi naikubali mistari na mashairi yametulia Big up bushoke kitu chako cha Dunia njia kina ninyima usingizi pia dada jay dee kitu chako cha nishike mkono big up ni mimi jmwambona wa jmwambona @yahoo.com
yap!! am very much impressed wc tanzanian music,
bongo flava…artists ar doin so good…marlaw huko juu ile mbaya, big up.
sana….!!! kazeni buti mazee.
yap..!!! am very much impressed wc, bongo flava..the music industry
in tanzania is will growing up…artists ar doin so good…big up sana..
marlaw upo juu sana kaza buti mazee..!!!
Hey, dude. This song is so cool. I give you guys a 100% for this BONGO FLAVA!!!! Keep it up!!!
I love the song amini nakupenda by marlaw!!
Matonya don`t stop 2 sing .Bekause u are a good star .Big up man
Thank u man God bless u man.
I lives in Colorado Springs.
NAOMBA WIMBO WA FIRST AID KUTOKA UGANDA
i think it’s better if you guys can put actual videos.
Naomba na sisi wapenzi wa taarab mtukumbuke kutuwekea nyimbo za taarab.
Napenda niwapatie miziki ambayo mtaiweka katika Jambo radio ili wananchi waisikilize. ni Album mbili za wanamziki tofauti na GCM Cre na Blue Coast ambao Kampuni yetu inafanya matayarisho ya mwisho ili kukamilisha album zao, Album ya Machache!! waimbaji ni GCM Crew, Na Album ya Fadhaiko la moyo Ya Blue Coast. demo zipo katika website yetu na hivi ni vikundi vya wanamziki chipkizi ambao bado hawajafahamika, wanahitaji msaada wetu ili na wao wafahamike so kama mtahitaji miziki yao kwa ajili ya kuweka watu wawasikilize vjana hao naomba address zenu niwatumie kama attachment. mimi pia ni mwanachama wa jambo Son Of Dead Millionaire
hey!mi ni aloys nikiwa marekani kwa kweli hongera sana wasanii wa tzt sijuwi niseme aje kwani mnajitahidi kwa kutunga nyimbo zenye akili na kila siku najtahidi kusikiliza nyimbo za hapo tzt.big up ninyi kazeni buti.
Big up wasani wa TZT kwani ni ukweli mnaimba nyimbo nzuri sana.pole sana Z ANTO kwa huyo binti kiziwi anaye kusumbuwa na ila muelewe hivyo alivyo kwa kuwa umeshatamka ya kwamba hata kusoma nen love yeye halijuwi hata pia neno i need you halitambuwi,na wimbo huo najuwa umewa touch wengi kwani si wewe tu.
Is big web in Dar mimi ninaona wabongo hii iwe niweb yetu yakuelezea tunachokiona,tunachokisikia Macreaters na washukuru sana!1.Lakini je hizi nyimbo hizi wasanii wanafaidika vipi na hii miziki??Au ndo mna wapromo??
Big up in the always.
im a tazanian even though i live england BUT I JUST L0VE THE MUSIC IT IS THE BEST MUSIC 2 LISTEN 2!!!
jamani i love dis song somuch n u guys ur somuch gud.may god bless u
What a wonderful collection you are composing for us! This shows how Tanzanians are rich in talents (music talents to be precise)
Few rehabilitations and dedicated support to our wasanii could see them rock the World and easily get to skies!
bongo fleva oye.kazi yenu twaifuraia sana baraka twawaombea.
Mizuka mtupe.
YEAH,I LIKE THIS SONG FROM BUSHOKE.IT IS SO NICE.KUNA UJUMBE MKUBWA MNO.KEEP IT UP MEN.
nyimbo hii imetulia sana
nimeikubali
Du! nimenyosha mikono kweli tanzania 2po juu mipini kama hii cjui vijana wanatoa wap mistari coz inakuna vya kutosha hasa 3 bila.
mungu ibariki bongo
imefunika kwa fujo
NAUKUBALI WIMBO WA NZELA WA BANANA ZORRO KWELI MISTARI IMETULIA.
i love this website keeps me informed on the latest music thumps up to you and take care
this site is wonderful
Ndg zangu mko juu sn ,mumeifanaya bongo flava iwe juu sn ,boresheni
Hi,
Nimefarijika na hii collection,inabamba,najisikia niko nyumbani hapa ugenini masomoni Norway.Big up kwa wasanii wetu.I will spread the news kwani wengi tulikuwa tunasema hatujabeba CD za nyumbani.the site is wonderful
hi nikopamoja na washikaji wote wanaotumia jambonetwork
nawapa biga up waimbaji wa bongo kwa kuonesha vipaji vyenu.
I LIKE BONGO SONGO SANA NA ZILIPENDWA NIKO MOSOW NILIPEWA DEDICATICATION IKABIDI MINAFUTE WAPI NDIO NIAAMBIWA MAMBO YOYE JAMBO NETWORK PLEASE USIACHE TWASIKIA RAHA. NAJUA UMENUMA. SIJANUNA TENA JAMANI LET START NEW LOVE. NIMEKUSAMEHE LOVE YOU.
love you MOSCOW JAMANI. NIMEKUSAMEHE ASWA
Mi ndo mi R-dee
kawaida yangu mi ni mmja wapo wanaopenda BONGO FLAVA toka longi
Hasa kama vilivyo na sina mengi zaidi kiliopo na kipweti ni shukrani kwa wanaohusika na mambo haya ya BONGO FLAVA kusikika ughaibuni.
” HEY”"
Yeah year!!!!! Am feeling the flava i like though Am milions kilometres away from my beloved country. Cheeeer up!!!!!!!
From Norway.
Don’t gain the world & lose your soul wisdom is better than silver & gold.
Salam zangu kwa watanzania wote, nawatakieni kila laheri na baraka hasa wasanii wetu wa bongo flava mnatisha sio sili big up kwasana.
omg, i luv tis song, damn!!!
nili kuwa nataka lyrics ya nyimbo natamani
na nyimbo ya shalamwana byyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy
nimekubali sana wimbo wa badoniponipisana wa mwanaf,a salam kwa wabongo wote waliopo viwanjani.
kunam2 yoyote yupo hewani?nataka kupata habari za hapo bongo.
Ebwana sana tuuu nafarijika kuona tunazipa mashavu nyimbo zetu big up sasa maendeleo yanaonekana kazeni…
hamjambo huko mm nataka ni dawload nyimbo sasa nakwenda wapi
hey jambotanzania web site, inatisha kwa kuachia habari za uhakika, na kuburudisha jamii pia na kuielimisha jamii na dunia nzima, naomba watumiaji wa site hii tuitangaze mpaka kila pembe ya dunia na vijijini ili kwa ubora wake
siifagilii bari wewe unaona mwenyewe.
ni wito wangu kwa watumiaji (marafiki) kushikamana na kutoa mawazo endelevu na kuunga umoja wa watumiaji wa site hii. Pia ni wito wangu kwa watawala wa site hii kuyasikiliza na kuyafanyia kazi mawazo yatolewayo na watumiaji. Wa sanii pongezi kubwa pokeeni na utawala wa hii site asante kwa kufukisha ujumbe katika jamii.
asante big up kwa marafiki na watumiaji site hii Tanzania jambo network namba moja
Renatus Raphael
Tanzania CBT
Msanii Jl na Lil Qeto kwa kibao chao wa KIDATO KIMOJA anatisha si kwamba na mfagilia bali kuna ukweli ndani yake.
kazana kwa nguvu na toa pini jingine. Big up kwa watumiaji jambo chat wooote
mwenzenu renatus bybybybyby
oi am Bouba kipenzi cha mabinti
i love da music . i am jamaican and listening to bongo bring out my african roots. da station rock mi to the core.
my man is kenyan and i would love to learn da lingo respect.
Huwa si mtu wa kujibu kila kinachoandikwa bali kuchukua hatua. Lakini nimeonelea leo nijibu baadhi ya wadau hapa ili kukidhi haja zao.
Kuhusu walioomba muziki wa Injili, kumradhi kwa kutouweka hapa lakini upo kwenye hii link na baada ya marekebisho kadhaa tutaweka link huku pia:
JamiiForums.com/injili.php
Inakili pembeni na weka kwenye browser yako uendelee kuburudika na miziki hiyo ya Injili.
Kuna wadau huwa wanalalamika kwamba hatujaweka nyimbo flani. Tunasikitika kuwa baadhi ya wasanii kuwapata ama kupata nyimbo zao ni ngumu, tunajitahidi kuweka zile ambazo zinapatikana na endapo kuna mdau anazo nyimbo na anaona hapa hazijawekwa tafadhali tuwasiliane: Nambari yangu nilishakupeni nairudia, +255713444649 au barua pepe maxence.melo@jamiimedia.com.
Pia kuna ambao huwa wanataka direct links za ku-download hizi nyimbo, nasikitika kusema kuwa kufanya hivyo ni ngumu kwetu kwani ni kusambaza bila mauzo nyimbo za wasanii, tunatambua kuna namna nyingine mdau anaweza kuzichukua sawa na msikilizaji wa radio anayerekodi nyimbo, hilo kulikwepa ni kugumu lakini si kwa dhamira yetu.
ZAidi ni kuwaomba uvumilivu na ushirikiano ili kuboresha kazi zetu.
Ahsante.
Maxence M. Melo
k.n.y JamboNetwork.com Administration
Ni kweli bila kificho kuwa watu tunafurai sana kutembelea web hii hapa maana iko makinni nyimbo mpya yaani uptodate na hivyo kutufanya sisi tunaoitembelea pi kuwa wajanja hi wote wapenzi wa jambo tujuliane hali kwa :josephat .john @gmail.com
Asante sana Maxence M. kwa kutujibu na kutufafanulia vyema hasa kile tulicho kuwa tunauliza. kwa pamoja tuiboreshe jambo network kwa sababu iko juu kuliko site zingine kwa kuimulikia jamii hasa burudani, Habari, Elimu. nk.
Renatus Raphael
CBT -Tanzania
renatusraphael@yahoo.com
BOSS Mac hebu nitoe ujinga hapa naona imeandikwa BONGO FLAVA sasa mbona kuna nyimbo mpaka za nchi nyingine au BONGO FLAVA ni jina tu haina maana ni wasanii wa TZ??
ahhahahahahhahah
Mac bana nae !!!!
tukopamoja makaka tz iko juu kwa music wa bongo flave naikubali sana kwaheri wewe unaesoma
tz ndio nyumbani napenda bongo flave tz iko hewani kwa music kwaheri msomaji wangu njamaisaack@yahoo.com
yap yap ladies n gentlmen frm the abload mzuuuuuuuuuuuuuuuuuka sana i see your comment from this web is very nyc but dont forget home ma guys just kip in touch ma email anold8719@yahoo.com anyone who want to show love wit me, nyc daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaay
Yeah yeah yeah!!! Masela wangu PINGU na DESSO mmefanya kazi nzuri
Big up vichwa vigumu kutoka TIPTOP CONNECTION.
Big up Boys !!!! Big up Boys.
PAMOJA SANA MASELA,JITAIDI KUFANYA SHUGHUKI ZINAZO INUA MAENDELEO NA SI YANAYODIDIMIZA MATARAJIO YAKO.ISHI KWA KUMUOMBA MUNGU.KUMBUKA MAISHA MEPESI NA NI LAINI KAMA KUNAWA UKIMHIRIKISHA MUNGU.
YAANI UCBONYEZEE HII DALAZ,NI KWAMBA MNAFUNIKA BUT NINGEPENDA MUONGEZE NYIMBO KAMA ZA AKUDO I MEAN BONGO DANSI NA TAARAB,GOSPER BUT BONGO DANSI NI MKAZUFUNGA ZAID SO NI HAYO 2,NOMAAAAAAAAAAAAA
We as youth of today we must change according to the development of science and technology and we suppose to know that we are so importance in this world.So you as you, your personality in this world is only one no one have your breath and your heart beat in all this world even George Bush can’t dare to buy your personal because you is only one in this world So you must feel that you is special no body can be like you forever and ever
Thanks to God for mad me My Parents(Angel & Francis Lyassa) as well as all Lyassa’s family.
Jackson Lyassa.
Katoke TTC 2007-2009
jamani bongo flava si mchezo mziki mzuri naomba mziki wa tmk-dar mpaka moro please!!!!!!!!!!!!!!! thank you!!!!!!!!!! houston,texas
Mheshimiwa Temba sijui ni human au animal kwa sababu kila msanii
akimshirikisha songi inakuwa kali saaaana nyimbo zake pekee yake sasa.
Sikia songi lake la mwaka wa shetani basi !!!
BIG UP msela wangu kutuka kundi letu TMK WANAUME FAMILY tuachane
na hao wanajiita halisi hao feki hawasafishi meno yao…..
BIG UP MAAAAAAN !!!!!!!!
mimi marakwamara nasikia muheshimiwa KIKWETE ambae ni rais wa tanzania anapambana na ufisadi,kinachonishangaza nikwamba mafisadi wanaofahamika hawakamatwi,nani asiejuwa kuwa LOWASA ndiyo mwizi mkuu katika tanzania mbona hakamatwi?au rais anamuogopa?hatakuku wanafaham kuwa LOWASA ni mwizi.au KIKWETE unatuletea usanii?kamavipi achana na urais nenda ukawe pamoja na HASHIM LUNDENGA naona unatuletea usanii,hapoulipo siyo pakuleta usanii unatakiwa kuongoza kwa kufuata taratibu na shelia.
AY we uko juu na tena we ni moja wa maboss wa wasanii wa TANZANIA.
Hilo kundi lenu la duet AY&FA linaua watu.Mungekuwa kwa lile kundi la ECT
hamungejulikana.Napenda sana mnavyorap .Sina la kusema zaidi ya big up
masela wangu. Habari ndio hiyo.
safi sana i like it atakama niko canada .